Mkurugenzi mkuu wa kiwanda cha cement cha MEIS bwana Merey Balhabou kushoto akifafanua jambo kwa mkuu wa mkoa wa Lindi Ludovick Mwananzila pamoja na walikwa walio hudhuria sherehe kupokea shehena ya pili yamitambo ya ujenzi wa kiwanda cha cement mkoani Lindi mitambo hiyo imewasili katika bandari ya Mtwara ikitokea nchini china.
No comments:
Post a Comment